TANGAZO LA KUITWA KAZINI TAASISI MBALIMBALI ZA UMMA 21-05-2025 AJIRA PORTAL

TANGAZO LA KUITWA KAZINI TAASISI MBALIMBALI ZA UMMA 21-05-2025 AJIRA PORTAL UTUMISHI

Hatua za Kuuliza swali. Anza na Title ya swali kisha Chini yake weka maelezo kuhusu swali lako.
NB: HATUJIHUSISHI NA VITU VINGINE ISIPOKUWA AJIRA.
Bonyeza hapo kujiunga nasi kupata matangazo mbalimbali ya kazi, Maswali ya Usaili.
Hili hapa tangazo la kuitwa kazini Afya, walimu na taasisi mbalimbali Katibu wa Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma anapenda kuwataarifu waombaji kazi wa nafasi mbalimbali waliofanya usaili kati ya tarehe 15-06-2024 na tarehe 15-04-2025 kuwa matokeo ya waombaji kazi waliofaulu usaili huo ni kama yalivyoorodheshwa katika tangazo hili. Orodha ya majina haya pia inajumuisha baadhi ya wasailiwa waliokuwa kwenye kanzidata (Database) kwa kada mbalimbali ambao wamepangiwa vituo vya kazi baada ya nafasi kupatikana.

Angalia walioitwa kazini ajira portal PDF.
 TANGAZO LA KUITWA KAZINI TAASISI MBALIMBALI ZA UMMA 21-05-2025 AJIRA PORTAL
 
Last edited:
Back
Top Bottom