TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI CHUO CHA ELIMU YA BIASHARA (CBE) KAZI ZA MKATABA 18-08-2025

TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI CHUO CHA ELIMU YA BIASHARA (CBE) KAZI ZA MKATABA 18-08-2025 AJIRA PORTAL

Haya hapa Matokeo ya Kidato cha Sita TUNDURU SECONDARY SCHOOL 2026-S0404 yaliyotangazwa na Baraza la Mitihani la Tanzania (NECTA) Katika Mtihani wa Form six (ACSEE) 2026/2027 jumla ya wanafunzi wengi wamefaulu.
Bonyeza hapo juu kujiunge na Group la wanachuo waliomaliza kidato cha sita 2026 hapa baada ya matokeo ya form six 2026
Hili hapa tangazo la kuitwa kwenye usaili Waombaji kazi za mkataba kwa kada ya Mwandishi Mwendesha Ofisi (OMS II) wanajulishwa kuwa usaili utafanyika tarehe 25/08/2025 na 26/08/2025 Chuo cha Elimu ya Biashara Kampasi Kuu ya Dar es Salaam. Usaili wa vitendo utafanyika tarehe 25/08/2025 kuanzia saa 3.00 asubuhi na Usaili wa Mahojiano utafanyika tarehe 26/06/2025 Chuo cha Elimu ya Biashara Kampasi Kuu ya Dar es salaam saa 3:00 Asubuhi.

Pakua PDF hapa.
TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI CHUO CHA ELIMU YA BIASHARA (CBE) KAZI ZA MKATABA 18-08-2025
 
Similar content Most view View more
Back
Top Bottom