Hili hapa tangazo la kuitwa kwenye usaili Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Handeni anapenda kuwataarifu Waombaji Kazi wote walioomba kazi kuwausaili unatarajiwa kuendeshwa kuanzia tarehe 19/06/2026 hadi 22/06/2026 hatimaye kuwapangia vituo vya kaziwaombaji kazi watakaofaulu usaili huo. Wasailiwa wanaoitwa kwenye usaili wanapaswa kuzingatia maelekezoyafuatayo:-
Pakua PDF hapa
Pakua PDF hapa