Hili hapa tangazo la kuitwa kwenye usaili Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Moshi kwa niaba ya Halmashauri ya Wilaya ya Moshi anapenda kuwataarifuWaombaji Kazi wote walioomba kazi kuwa usaili unatarajiwa kuendeshwa kuanzia tarehe 23/06/2026 hadi 26/06/2026hatimaye kuwapangia vituo vya kazi waombaji kazi watakaofaulu usaili huo. Wasailiwa wanaoitwa kwenye usailiwanapaswa kuzingatia maelekezo yafuatayo:-
Pakua PDF hapa
Pakua PDF hapa