Hili hapa tangazo la kuitwa kwenye usaili Katibu wa Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma kwa niaba ya Wizara ya Afya, Shirika la Uwakala wa Meli Tanzania (TASAC), Mamlaka ya Usimamizi wa Bima Tanzania (TIRA), Chuo cha Usimamizi wa Wanyamapori (CAWM), Kituo cha Zana za Kilimo na Teknolojia Vijijini (CAMARTEC), Wakala wa Barabara Tanzania (TANROADS), Ofisi ya Taifa ya Ukaguzi (NAOT) anapenda kuwataarifu Waombaji Kazi wote walioomba kazi kuwa usaili unatarajiwa kuendeshwa kuanzia tarehe 14/08/2026 hadi 21/08/2026 hatimaye kuwapangia vituo vya kazi waombaji kazi watakaofaulu usaili huo. Wasailiwa wanaoitwa kwenye usaili wanapaswa kuzingatia maelekezo yafuatayo:
Pakua PDF hapa
PDF 2 pakua hapa
Pakua PDF hapa
PDF 2 pakua hapa