TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI TAASISI MBALIMBALI ZA UMMA 07-08-2026

TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI TAASISI MBALIMBALI ZA UMMA 07-08-2026 AJIRA PORTAL

Haya hapa Matokeo ya Kidato cha Sita TUNDURU SECONDARY SCHOOL 2026-S0404 yaliyotangazwa na Baraza la Mitihani la Tanzania (NECTA) Katika Mtihani wa Form six (ACSEE) 2026/2027 jumla ya wanafunzi wengi wamefaulu.
Bonyeza hapo juu kujiunge na Group la wanachuo waliomaliza kidato cha sita 2026 hapa baada ya matokeo ya form six 2026
Hili hapa tangazo la kuitwa kwenye usaili Katibu wa Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma kwa niaba ya Shirika la Reli Tanzania (TRC), Taasisi ya Utafiti wa Misitu Tanzania (TAFORI), Watumishi Housing Investments (WHI), Tume ya Nguvu za Atomu Tanzania (TAEC), Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Iringa (IRUWASA), Wakala wa Ndege za Serikali (TGFA), MDAs & LGAs, Chuo cha Uhasibu Arusha (IAA) anapenda kuwataarifu Waombaji Kazi wote walioomba kazi kuwa usaili unatarajiwa kuendeshwa kuanzia tarehe 26/08/2026 hadi 06/10/2026 hatimaye kuwapangia vituo vya kazi waombaji kazi watakaofaulu usaili huo. Wasailiwa wanaoitwa kwenye usaili wanapaswa kuzingatia maelekezo yafuatayo:-

Pakua PDF hapa
TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI TAASISI MBALIMBALI ZA UMMA 07-08-2026
 
Similar content Most view View more
Back
Top Bottom