Hili hapa tangazo la kuitwa kwenye usaili Katibu wa Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma kwa niaba ya Shirika la Reli Tanzania (TRC), Taasisi ya Utafiti wa Misitu Tanzania (TAFORI), Watumishi Housing Investments (WHI), Tume ya Nguvu za Atomu Tanzania (TAEC), Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Iringa (IRUWASA), Wakala wa Ndege za Serikali (TGFA), MDAs & LGAs, Chuo cha Uhasibu Arusha (IAA) anapenda kuwataarifu Waombaji Kazi wote walioomba kazi kuwa usaili unatarajiwa kuendeshwa kuanzia tarehe 26/08/2026 hadi 06/10/2026 hatimaye kuwapangia vituo vya kazi waombaji kazi watakaofaulu usaili huo. Wasailiwa wanaoitwa kwenye usaili wanapaswa kuzingatia maelekezo yafuatayo:-
Pakua PDF hapa
Pakua PDF hapa