Tangazo la Mnada Wizara ya Fedha

Tangazo la Mnada Wizara ya Fedha

Bonyeza hapo kujiunga nasi kupata matangazo mbalimbali ya kazi, Maswali ya Usaili.
Wananchi wote mnatangaziwa kwamba, Serikali itauza kwa njia ya Mnada wa Hadhara Magari, Pikipiki, Mitambo na vifaa mbalimbali chakavu katika Mikoa ya Dodoma, Dar es salaam, Iringa, Mwanza, Geita, Morogoro, Pwani, Manyara, Arusha, Njombe, Mara, Ruvuma, Lindi, Rukwa, Mtwara, Kigoma, Kilimanjaro, Tabora, Shinyanga, Mbeya, Tanga, Singida, Katavi, Kagera na Kisiwani Unguja katika vituo na tarehe kama ilivyooneshwa hapa chini.
Tangazo la Mnada Wizara ya Fedha
 

Download PDF

Similar threads Most view View more
Hatua za Kuuliza swali. Anza na Title ya swali kisha Chini yake weka maelezo kuhusu swali lako.
Back
Top Bottom