Halmashauri ya Mji Nanyamba imepata idhini ya utekelezaji wa Kibali cha Ajira Mpyachenye Kumb. Na. FA.97/228/01/A/25 cha Tarehe 29 Aprili, 2025 kwa ajili ya kuajiriDereva II nafasi 8, Mwandishi Mwendesha Ofisi II nafasi 9 na Msaidizi wa KumbukumbuII nafasi 5 kutoka kwa Katibu Mkuu Ofisi ya Rais - Menejimenti ya Utumishi wa Ummana Utawala Bora. Hivyo, Mkurugenzi wa Mji Nanyamba anawatangazia watanzaniawenye sifa na nia ya kufanya kazi katika Halmashauri ya Mji Nanyamba, kuomba nafasiza kazi zifuatazo kuanzia leo tarehe 21/05/2025.
Tuma maombi hapa.
Tuma maombi hapa.
- Form four selection 2025
- Tamisemi selection form five 2025
- Majina ya waliochaguliwa kidato cha tano pdf
- Wanafunzi waliopangiwa shule 2025
- Selection form five 2025 results