TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI HALMASHAURI YA MJI NANYAMBA 30-05-2025

TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI HALMASHAURI YA MJI NANYAMBA 30-05-2025 AJIRA PORTAL

Bonyeza hapo kujiunga nasi kupata matangazo mbalimbali ya kazi, Maswali ya Usaili.
Halmashauri ya Mji Nanyamba imepata idhini ya utekelezaji wa Kibali cha Ajira Mpyachenye Kumb. Na. FA.97/228/01/A/25 cha Tarehe 29 Aprili, 2025 kwa ajili ya kuajiriDereva II nafasi 8, Mwandishi Mwendesha Ofisi II nafasi 9 na Msaidizi wa KumbukumbuII nafasi 5 kutoka kwa Katibu Mkuu Ofisi ya Rais - Menejimenti ya Utumishi wa Ummana Utawala Bora. Hivyo, Mkurugenzi wa Mji Nanyamba anawatangazia watanzaniawenye sifa na nia ya kufanya kazi katika Halmashauri ya Mji Nanyamba, kuomba nafasiza kazi zifuatazo kuanzia leo tarehe 21/05/2025.

Tuma maombi hapa.
TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI HALMASHAURI YA MJI NANYAMBA 30-05-2025
 
Hatua za Kuuliza swali. Anza na Title ya swali kisha Chini yake weka maelezo kuhusu swali lako.
Back
Top Bottom