Hili hapa tangazo la nafasi za kazi Kwa niaba ya Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Mjini Tanga (TANGAUWASA), Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma (PSRS) inawaalika Watanzania wenye sifa stahiki, wenye uwezo wa hali ya juu, wanaolenga matokeo, wanaojituma, wenye uadilifu na weledi, kuomba kujaza nafasi tano (5) za kazi zilizo wazi kama zilivyoainishwa hapa chini.
Pakua PDF hapa
Pakua PDF hapa