UDAHILI WA WANAFUNZI KATIKA MKUPUO WA MACHI 2026/2027 NACTVET

UDAHILI WA WANAFUNZI KATIKA MKUPUO WA MACHI 2026/2027 NACTVET Vyuo 2026

Haya hapa Matokeo ya Kidato cha Sita TUNDURU SECONDARY SCHOOL 2026-S0404 yaliyotangazwa na Baraza la Mitihani la Tanzania (NECTA) Katika Mtihani wa Form six (ACSEE) 2026/2027 jumla ya wanafunzi wengi wamefaulu.
Bonyeza hapo juu kujiunge na Group la wanachuo waliomaliza kidato cha sita 2026 hapa baada ya matokeo ya form six 2026
Baraza la Taifa la Elimu ya Ufundi na Mafunzo ya Ufundi Stadi (NACTVET) linapenda kuufahamisha umma kuwa udahili wa wanafunzi katika ngazi ya Astashahada na Stashahada kwa kozi zote, isipokuwa kozi za Afya Tanzania Bara, umeanza tarehe 10 Februari, 2026 na utakamilika tarehe 28 Februari 2026. Udahili huu unahusu vyuo vilivyosajiliwa, kuthibitishwa na kuidhinishwa na Baraza kuwa na uwezo wa kupokea wanafunzi.
UDAHILI WA WANAFUNZI KATIKA MKUPUO WA MACHI 2026/2027 NACTVET
 
Back
Top Bottom