Baraza la Taifa la Elimu ya Ufundi na Mafunzo ya Ufundi Stadi (NACTVET) linapenda kuufahamisha umma kuwa udahili wa wanafunzi katika ngazi ya Astashahada na Stashahada kwa kozi zote, isipokuwa kozi za Afya Tanzania Bara, umeanza tarehe 10 Februari, 2026 na utakamilika tarehe 28 Februari 2026. Udahili huu unahusu vyuo vilivyosajiliwa, kuthibitishwa na kuidhinishwa na Baraza kuwa na uwezo wa kupokea wanafunzi.
UDAHILI WA WANAFUNZI KATIKA MKUPUO WA MACHI 2026/2027 NACTVET Vyuo 2026
- Thread starter Sia
- Start date
NECTA MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2025 SHULE ZOTE BONYEZA HAPA
Bonyeza hapo kujiunga nasi kupata matangazo mbalimbali ya kazi, Maswali ya Usaili.
Similar content
Most view
View more