Utumishi wametangaza eneo la Usaili wa vitendo MOI

Utumishi wametangaza eneo la Usaili wa vitendo MOI

Bonyeza hapo kujiunga nasi kupata matangazo mbalimbali ya kazi, Maswali ya Usaili.
Hatua za Kuuliza swali. Anza na Title ya swali kisha Chini yake weka maelezo kuhusu swali lako.

SiaVerified member

Administrator

Staff member
Reputation: 41%
Joined
Oct 20, 2024
Messages
342
Wasailiwa wa nafasi mbalimbali katika Taasisi ya Mifupa Muhimbili (MOI) mnajulishwa kuwa, usaili wa vitendo na mahojiano wa tarehe 5 na 6 Disemba, 2024 utafanyika katika ukumbi wa MOI Phase III uliopo jengo jipya la MOI. Aidha, muda wa kufanya usaili utabaki kama ulivyo kwenye tangazo la kuitwa kwenye usaili. Kwa taarifa zaidi tembelea tovuti ya www.ajira.go.tz

TAARIFA YA ENEO LA USAILI WA VITENDO NA MAHOJIANO TAASISI YA MIFUPA MUHIMBILI (MOI).
Utumishi wametangaza eneo la Usaili wa vitendo MOI
 
Back
Top Bottom