Viingilio Singida Black Stars vs Simba SC Leo 28 December 2024

Viingilio Singida Black Stars vs Simba SC Leo 28 December 2024

Orodha ya majina ya wanafunzi waliochaguliwa kujiunga na kidato cha tano au Jinsi ya kuangalia selection za form six selection 2026 Tamisemi
Bonyeza hapo juu kujiunge na Group la Form Six Selection 2026 hapa

Revoo

Member

Reputation: 22%
Joined
Dec 12, 2024
Messages
194
Klabu ya Singida Black Stars imetangaza viingilio vya mchezo wa ligi kuu dhidi ya Simba SC.

Mchezo huo utapigwa Leo Jumamosi tarehe 28 December 2024, kuanzia saa 10:00 jioni kwenye Uwanja wa CCM Liti, Mkoani Singida.

Viingilio hivo vimetajwa kuwa Kwa mzunguuko itakuwa ni Tsh 10,000, huku majukwaa mengine ya VVIP itakuwa ni Tsh 30,000 na VIP itakuwa Tsh
15,000.
liti_fee.jpg.webp
 
Back
Top Bottom