Haya hapa majina ya Walimu Walioitwa Kazini TAMISEMI Ajira za Kujitolea
Pakua PDF hapa.
Pakua PDF hapa.
Ofisi ya Rais – TAMISEMI inapenda kuwataarifu waombaji wa nafasi za walimu wa kujitolea katika Shule za Msingi ambao walifanya maombi kati ya tarehe 17 – 30 Mei, 2025 kuwa majina ya waombaji waliokidhi vigezo yanapatikana katika tovuti: tamisemi.go.tz
Aidha, walimu waliokidhi vigezo, wanatakiwa kuripoti kwa Wakurugenzi wa Mamlaka za Serikali za Mitaa zilizopo shule walizoomba kuanzia tarehe 18 hadi 31 Agosti, 2025 kwa ajili ya kujaza Mkataba wa Ajira ya Walimu wa Kujitolea na Mwajiri pamoja na kupatiwa barua za kupangwa kituo cha kazi. Tafadhali fika na Vyeti Halisi (Originals...
Aidha, walimu waliokidhi vigezo, wanatakiwa kuripoti kwa Wakurugenzi wa Mamlaka za Serikali za Mitaa zilizopo shule walizoomba kuanzia tarehe 18 hadi 31 Agosti, 2025 kwa ajili ya kujaza Mkataba wa Ajira ya Walimu wa Kujitolea na Mwajiri pamoja na kupatiwa barua za kupangwa kituo cha kazi. Tafadhali fika na Vyeti Halisi (Originals...