Walioitwa Kazini TAMISEMI Ajira za TMCHIP

Walioitwa Kazini TAMISEMI Ajira za TMCHIP Kada za Afya

Bonyeza hapo kujiunga nasi kupata matangazo mbalimbali ya kazi, Maswali ya Usaili.
Hatua za Kuuliza swali. Anza na Title ya swali kisha Chini yake weka maelezo kuhusu swali lako.
Orodha ya majina ya walioitwa kazini Tamisemi leo, Ofisi ya Rais – Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (OR-TAMISEMI) inapenda kuwataarifu waombaji wote wa kazi za mkataba katika programu ya Mpango wa Uwekezaji katika Afya ya Mama na Mtoto nchini Tanzania (Tanzania Maternal and Child Health Investment Program (TMCHIP) waliowasilisha maombi ya ajira kwanafasi mbalimbali za kada za afya katika kipindi cha mwezi wa Desemba, 2024kuwa mchakato wa kuwapangia vituo vya kazi umekamilika hivyo waombajiwote waliochaguliwa wanatakiwa kuripoti katika Halmashauriwalizopangiwa.
Walioitwa Kazini TAMISEMI Ajira za TMCHIP


Pakua PDF hapo chini.
 

Attachments

Similar threads Most view View more
Back
Top Bottom