Walioitwa Kazini TAMISEMI Ajira za TMCHIP

Walioitwa Kazini TAMISEMI Ajira za TMCHIP Kada za Afya

Haya hapa Matokeo ya Kidato cha Sita TUNDURU SECONDARY SCHOOL 2026-S0404 yaliyotangazwa na Baraza la Mitihani la Tanzania (NECTA) Katika Mtihani wa Form six (ACSEE) 2026/2027 jumla ya wanafunzi wengi wamefaulu.
Bonyeza hapo juu kujiunge na Group la wanachuo waliomaliza kidato cha sita 2026 hapa baada ya matokeo ya form six 2026
Orodha ya majina ya walioitwa kazini Tamisemi leo, Ofisi ya Rais – Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (OR-TAMISEMI) inapenda kuwataarifu waombaji wote wa kazi za mkataba katika programu ya Mpango wa Uwekezaji katika Afya ya Mama na Mtoto nchini Tanzania (Tanzania Maternal and Child Health Investment Program (TMCHIP) waliowasilisha maombi ya ajira kwanafasi mbalimbali za kada za afya katika kipindi cha mwezi wa Desemba, 2024kuwa mchakato wa kuwapangia vituo vya kazi umekamilika hivyo waombajiwote waliochaguliwa wanatakiwa kuripoti katika Halmashauriwalizopangiwa.
Walioitwa Kazini TAMISEMI Ajira za TMCHIP


Pakua PDF hapo chini.
 

Download PDF

Similar content Most view View more
Back
Top Bottom