Walioitwa kwenye Usaili Liwale

Walioitwa kwenye Usaili Liwale 21-05-2026

Haya hapa Matokeo ya Kidato cha Sita TUNDURU SECONDARY SCHOOL 2026-S0404 yaliyotangazwa na Baraza la Mitihani la Tanzania (NECTA) Katika Mtihani wa Form six (ACSEE) 2026/2027 jumla ya wanafunzi wengi wamefaulu.
Bonyeza hapo juu kujiunge na Group la wanachuo waliomaliza kidato cha sita 2026 hapa baada ya matokeo ya form six 2026
Hili hapa tangazo la majina ya walioitwa kwenye usaili Naomba Kumb.Na.BA.150/206/01/93 la tarehe 20/04/2026 pamoja na tangazo la awali la kuitwa kwenye usaili lenye Kumb. Na.HA.263/300/01/05 la tarehe 15/05/2026, Halmashauri ya Wilaya ya Liwale imefanya nyongeza ya majina ya waombaji waliofanikiwa kuitwa kwenye usaili. Hivyo, waombaji wote waliopo kwenye orodha hii wanatakiwa kufika kwenye usaili utakaofanyika tarehe 25 - 26.05.2026.

Pakua PDF hapo chini.
Walioitwa kwenye Usaili Liwale
 

Download PDF

Similar content Most view View more
Back
Top Bottom