Walioitwa kwenye Usaili MORUWASA

Walioitwa kwenye Usaili MORUWASA 12-05-2026

Bonyeza hapo kujiunga nasi kupata matangazo mbalimbali ya kazi, Maswali ya Usaili.
Haya hapa orodha ya majina ya Walioitwa kwenye Usaili MORUWASA Mkurugenzi Mtendaji wa Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Morogoro (MORUWASA) anapenda kuwataarifu Waombaji kazi wote walicomba kazi kuwa usaili unatarajiwa kuendeshwa kuanzia 18/05/2026 hadi 20/05/2026 hatimaye kuwapangia vituo vya kazi waombaji kazi watakaofaulu usaili huo. Wasailiwa wanaoitwa kwenye usaili wanapaswa kuzingatia maelekezo yafuatayo :-

Pakua PDF hapo chini,
Walioitwa kwenye Usaili MORUWASA
 

Download PDF

Similar content Most view View more
Back
Top Bottom