Walioitwa kwenye Usaili Shirika la Ndege (ATCL) Tanzania Nyongeza

Walioitwa kwenye Usaili Shirika la Ndege (ATCL) Tanzania Nyongeza 04-07-2025

Hii hapa orodha ya majina ya walioitwa kwenye usaili Shirika la Ndege (ATCL) Tanzania Nyongeza Kampuni ya Ndege Tanzania kinapenda kuwataarifu wote walioomba kazi katika kada mbalimbali kuwa usaili unatarajiwa kuendeshwa kuanzia tarehe 5 Julai, 2025 hadi tarehe 10 Julai, 2025.

Wanaoitwa kwenye usaili wanapaswa kuzingatia maelekezo yafuatayo:-
Walioitwa kwenye Usaili Shirika la Ndege (ATCL) Tanzania Nyongeza
 
Similar threads Most view View more
Back
Top Bottom