Haya hapa majina ya walioitwa kwenye usaili Meneja wa TANROADS Mkoa wa Songwe, kwa niaba ya Mkurugenzi Mkuu wa TANROADS, anawaalika waombaji waliochaguliwa kufika kwenye usaili wa awali (aptitude test) kwa nafasi za ajira zilizotangazwa tarehe 10 Januari 2025.
Usaili huu ni kwa ajili ya mradi wa kuboresha barabara ya Isongole II – Kasumulu – Ipyana - Katumba (km 114.3) mkoani Songwe, ikiwa ni pamoja na kipande cha barabara ya Ndembo - Isoko (km 5.914) na Muungano - Ipyana (km 0.658) kwa kiwango cha lami.
Kazi hii ni sehemu ya Lot 1: Kipande cha Isongole II - Ndembo (km 46.5) pamoja na barabara ya Ndembo - Isoko (km 5.914).
Pakua PDF hapa.
Usaili huu ni kwa ajili ya mradi wa kuboresha barabara ya Isongole II – Kasumulu – Ipyana - Katumba (km 114.3) mkoani Songwe, ikiwa ni pamoja na kipande cha barabara ya Ndembo - Isoko (km 5.914) na Muungano - Ipyana (km 0.658) kwa kiwango cha lami.
Kazi hii ni sehemu ya Lot 1: Kipande cha Isongole II - Ndembo (km 46.5) pamoja na barabara ya Ndembo - Isoko (km 5.914).
Pakua PDF hapa.