Waziri Wa Sanaa na Michezo Ametoa Maelekezo Kufuatia kuvunjwa viti Benjamin mkapa.

Waziri Wa Sanaa na Michezo Ametoa Maelekezo Kufuatia kuvunjwa viti Benjamin mkapa.

Haya hapa Matokeo ya Kidato cha Sita TUNDURU SECONDARY SCHOOL 2026-S0404 yaliyotangazwa na Baraza la Mitihani la Tanzania (NECTA) Katika Mtihani wa Form six (ACSEE) 2026/2027 jumla ya wanafunzi wengi wamefaulu.
Bonyeza hapo juu kujiunge na Group la wanachuo waliomaliza kidato cha sita 2026 hapa baada ya matokeo ya form six 2026

Revoo

Member

Reputation: 22%
Joined
Dec 12, 2024
Messages
194
Haya hapa maekezo aliyoyatoa waziri Wa Sanaa na Michezo Tanzania juu ya kuvunjwa viti Benjamin mkapa.

MAELEKEZO ya Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Mhe. Prof. Palamagamba John Aidan Mwaluko Kabudi kufuatia uharibifu wa viti uliofanyika katika Uwanja wa Benjamin Mkapa katika mchezo wa Kombe la Shirikisho Barani Afrika kati ya Simba Sports Club ya Tanzania na CS Sfaxien ya Tunisia, Desemba 15, 2024.
20241216_132055.webp

Pia jeshi la Polisi lilitoa ufafanuzi juu ya tukio Hilo la kuvunjwa viti takribani 250 katika uwanja wa Benjamini mkapa Tanzania.

Polisi wamethibitisha kutokea vurugu Uwanja wa Mkapa na kusababisha Viti vya Bluu 156 na Orange 100 kung'olewa.
FB_IMG_1734345034887.webp
 
Back
Top Bottom