Yahya Zayd Mchezaji Wa Azam Fc Afichua Sababu Za Kushindwa Ismailia Nchini Misri

Yahya Zayd Mchezaji Wa Azam Fc Afichua Sababu Za Kushindwa Ismailia Nchini Misri

Haya hapa Matokeo ya Kidato cha Sita TUNDURU SECONDARY SCHOOL 2026-S0404 yaliyotangazwa na Baraza la Mitihani la Tanzania (NECTA) Katika Mtihani wa Form six (ACSEE) 2026/2027 jumla ya wanafunzi wengi wamefaulu.
Bonyeza hapo juu kujiunge na Group la wanachuo waliomaliza kidato cha sita 2026 hapa baada ya matokeo ya form six 2026

Revoo

Member

Reputation: 22%
Joined
Dec 12, 2024
Messages
194
Mchezaji wa muda mrefu wa Azam FC Yahya Zayd amefichua sababu zilizopelekea kurejea nyumbani baada ya kupata fursa ya kucheza kwenye klabu ya Ismailia ya Misri lakini hakufanikiwa kudumu kwa muda mrefu kwenye klabu hiyo.
FB_IMG_1736488461785.webp

Zayd amesema, wengi wanadhani ni sababu za ndani ya uwanja pekee ndio hupelekea wachezaji kushindwa kudumu nje ya nchi lakini kuna sababu za kimazingira, tamaduni, kijamii n.k ambazo wachezaji hukutana nazo wakiwa mataifa mengine na kushindwa kuhimili na kuamua kurejea nyumbani.
 
Similar content Most view View more
Back
Top Bottom