Zouzou Mwingine Apatikana Azam Fc

Zouzou Mwingine Apatikana Azam Fc

Bonyeza hapo kujiunga nasi kupata matangazo mbalimbali ya kazi, Maswali ya Usaili.

Revoo

Member

Reputation: 22%
Joined
Dec 12, 2024
Messages
194
Azam FC wamekamilisha usajili wa mlinzi wa kimataifa wa Ivory Coast Zouzou Landry kutoka klabu ya Afad Djakanou ya Ivory Coast kwa mkataba wa miaka minne.
FB_IMG_1736440694429.webp

kimahesabu Zozuou anaenda kuziba nafasi ya Yannick Bangala ambaye ametimka kikosini hapo.
 
Similar threads Most view View more
Hatua za Kuuliza swali. Anza na Title ya swali kisha Chini yake weka maelezo kuhusu swali lako.
Back
Top Bottom