Featured content

Bonyeza hapo kujiunga nasi kupata matangazo mbalimbali ya kazi, Maswali ya Usaili.
Resource 'Michepuo ya O-Level Katika Mtaala Mpya 2025'
Hii hapa Michepuo ya O-Level Katika Mtaala Mpya 2025 1. Sanaa 2. Lugha 3. Muziki 4. Michezo 5. Tehama
Resource 'Masomo ya O-Level Katika Mtaala Mpya 2025'
Haya hapa Masomo ya O-Level Katika Mtaala Mpya 2025
Resource 'Mabadiliko ya Mtaala Mpya Sekta ya Ualimu 2025'
Haya hapa Mabadiliko ya Mtaala Mpya Sekta ya Ualimu 2025
Resource 'Mabadiliko ya Mitaala Mipya shule za msingi na Sekondari 2025'
Mabadiliko ya Mitaala Mipya shule za msingi na Sekondari 2025
Resource 'Nafasi za kazi Shule ya Tukuyu Adventist Pre Primary School Disemba 2024'
Hili hapa Tangazo la nafasi za kazi kutoka Tukuyu Adventist Pre Primary School
Resource 'Matokeo ya Kidato cha Nne 2024 (CSEE) Form Four Results 2024/2025'
Wananchi, Matokeo ya Kidato cha Nne 2024 yanatarajiwa kutolewa hivi karibuni na Baraza la Mitihani la Taifa (NECTA). Ili kupata matokeo yako, tembelea tovuti rasmi ya NECTA: www.necta.go.tz. Baada ya kufungua tovuti, chagua sehemu ya "Matokeo" na kisha uchague "CSEE" kwa ajili ya matokeo Kidato cha Nne. Chagua mwaka 2024, kisha tafuta jina la shule yako na jina lako ili kuona matokeo yako. Kwa wale wanaopendelea kutumia simu za mkononi, unaweza kupata matokeo yako kupitia huduma ya SMS...
Tangazo la Ajira mpya kutoka Mbeya Cement Pakua PDF hapo Juu sehemu iliyo andikwa "Download"
Je, una shauku ya kuchangia katika elimu bora kwa wote? VVOB inakua na sasa tunayo furaha kutangaza nafasi kadhaa za ajira katika ofisi yetu mpya hapa Tanzania! Tunatafuta kuajiri: Mhasibu (Accountant) Maafisa wa Fedha wawili (Finance Officers) Maafisa wa Operesheni wawili (Operations Officers) Kwa nini ujiunge nasi? Utakuwa na nafasi ya: Kuhakikisha michakato ya kifedha na ya kiutendaji inakwenda vizuri Kusaidia programu zenye athari katika elimu ya kimataifa Kuchangia dhamira yetu ya...
Resource 'Nafasi za kazi za Kujitolea Baraza la Habari Tanzania (MCT) Disemba 2024'
Baraza la Habari Tanzania (MCT) ni chombo huru, cha hiari, na kinachojisimamia chenyewe, chenye lengo la kukuza uhuru wa vyombo vya habari na kuhakikisha viwango vya juu vya kitaaluma na uwajibikaji wa vyombo vya habari katika Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. MCT inatekeleza Mkakati wake wa Mpango wa Miaka Minne (2023 – 2027), ambao unalenga kupanua wigo wa uhuru wa kujieleza na wa vyombo vya habari, pamoja na kukuza taaluma na uwajibikaji. Hii inalenga kuhakikisha vyombo vya habari vya...
Hatua za Kuuliza swali. Anza na Title ya swali kisha Chini yake weka maelezo kuhusu swali lako.
Back
Top Bottom