Kupata Namba ya Utambulisho wa Taifa (NIN), maarufu kama Namba ya NIDA, ni hatua muhimu kwa kila Mtanzania. Namba hii hutumika katika huduma mbalimbali kama vile kusajili laini ya simu, kufungua...
Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa (NIDA), inapenda kuwataarifu wananchi wote kuwa huduma ya kupata Namba ya Kitambulisho cha Taifa (NIN), inaweza kufanyika kwa kutumia simu ya mkononi. Kupata...
NaPA ni mfumo wa kidigitali wenye kanzidata ya anwani za makazi. Kupitia mfumo huu mwanchani anaweza kupata huduma zilizopo karibu kama hospitali, ATM, Benki na n,k, anaweza kupata uelekeo kutoka...
Na WAF, Dodoma Kurejea kwa Toto Afya Kadi: Mwanga Mpya kwa Bima ya Afya ya Watoto Waziri wa Afya, Mhe. Jenista Mhagama, ametangaza kwa furaha kurejeshwa kwa Toto Afya Kadi, mpango unaolenga kutoa...
Wananchi mnatadharishwa kuwepo kwa mtandao wa kitapeli unaopatikana katika kiunganishi cha "https://offersi-tes.github.io/grant-tanzania" ambao umeandikwa "RUZUKU YA URAIS Rais ameidhinisha kiasi...
Dkt. Isaka aweka wazi udanganyifu uliyochangia hasara ya bilioni 31.764. Sasa na hasara ya asilimia 313, sasa wameunda mfumo wa kubaini kile taarifa kutoka vitutoni. Kadi 12,68 5 zilizofutwa...