Habari
Bonyeza hapo kujiunga nasi kupata matangazo mbalimbali ya kazi, Maswali ya Usaili.
Wananchi mnatadharishwa kuwepo kwa mtandao wa kitapeli unaopatikana katika kiunganishi cha "https://offersi-tes.github.io/grant-tanzania" ambao umeandikwa "RUZUKU YA URAIS Rais ameidhinisha kiasi...
Hii hapa orodha ya Mawaziri Waliowahi kuongoza Wizara inayosimamia Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) kuanzia mwaka 1961.
Dkt. Isaka aweka wazi udanganyifu uliyochangia hasara ya bilioni 31.764. Sasa na hasara ya asilimia 313, sasa wameunda mfumo wa kubaini kile taarifa kutoka vitutoni. Kadi 12,68 5 zilizofutwa...
Yajivunia ulinzi kwa Taifa, ushiriki wa miradi mikubwa ya kimkakati nchini. Meja Jenerali Mabele aeleza namna walivyojenga Ikulu ya Chamwino, ukuta Mirerani usiku na mchana. Mashirika yake ya...
LEO: Waziri wa Afya Mhe. Jenista Mhagama (Mb) anatarajia kuzindua Mfumo wa uandikishaji Wanachama, Mfumo wa Uchakataji Madai na Kifurushi cha Toto Afya Kadi Desemba 17, 2024. Uzinduzi wa Mfumo...
TAARIFA
Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) Yatoa ufafanuzi kuhusu Shambulio la Gari na Watumishi wa TRA Tegeta kwa Ndevu
TAARIFA KWA UMMA: Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) Yatoa ufafanuzi kuhusu Shambulio la Gari na Watumishi wa TRA Tegeta kwa Ndevu
Uchaguzi wa viongozi wa Serikali za Mitaa uliofanyika tarehe 27 Novemba 2024 ulilenga kuchagua wenyeviti wa vijiji, mitaa, vitongoji, wajumbe wa halmashauri za vijiji, na kamati za mitaa kwa...
Haya hapa Yaliyojiri leo katika Magazeti 13 Novemba 2024 | Habari Kubwa magazetini siku ya leo.