Recent content by Gift

Bonyeza hapo kujiunga nasi kupata matangazo mbalimbali ya kazi, Maswali ya Usaili.
  1. Maswali ya Usaili Procurement Officer

    Maswali ya Usaili Procurement Officer 15-04-2026

    Haya hapa Maswali ya Usaili Procurement Officer kujiandaa na Interview yanayo ulizwa mara kwa mara baadhi ni. Bonyeza hapa kupakua maswali mbalimbali tena ya usaili wa procurement officer katika PDF.
  2. Maswali ya Usaili Transport Officer

    Maswali ya Usaili Transport Officer Interview 14-04-2026

    Haya hapa baadhi ya maswali ya usaili yanayo ulizwa mara kwa mara katika Interview za Transport Officer. Usaili wa mwezi wa nne 2026
  3. G

    Jinsi ya Kutuma Maombi Ajira za Jeshi JWTZ 15-04-2026

    Hizi hapa hatua kwa hatua Jinsi ya Kutuma Maombi Ajira za Jeshi JWTZ Maombi yote yaandikwe kwa mkono na yawasilishwe Makao Makuu ya Jeshi Dodoma kuanzia tarehe 14 Aprili, 2026 hadi tarehe 28 Aprili, 2026 yakiwa na viambatisho vifuatavyo: a. Nakala ya Kitambulisho cha Taifa au namba ya NIDA. b...
  4. G

    Nafasi za Kazi JWTZ Jeshi la Wananchi Tanzania 15.04.2026

    Hili hapa tangazo la Nafasi za Kazi JWTZ Jeshi la Wananchi Tanzania (JWTZ) linatangaza nafasi za kuandikishwa jeshini kwa vijana wa Kitanzania wenye elimu kuanzia elimu ya Sekondari hadi elimu ya Juu. Aidha, uandikishaji utahusisha vijana wa Kitanzania wenye Taaluma Adimu.
  5. G

    Ajira:: Nafasi za Kazi TAKUKURU PCCB Februari 2025 Ajira Mpya 2026

    Muktasari: Nafasi hizo ni za ajira kada mbalimbali huku mwisho wa kuomba ukiwa ni Februari 20, 2025 Dar es Salaam. Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) imetangaza nafasi 350 za ajira katika kada mbalimbali Tangazo la nafasi hizo limetolewa leo Alhamisi Februari 7, 2025 na...
  6. G

    NECTA Ratiba ya Mtihani wa Kidato cha Nne 2025/2026 Form Four TIMETABLE

    Hii hapa ratiba ya Mtihani wa Kidato cha Nne 2026 - CSEE Form four timetable 2026 NECTA
  7. Maswali ya Usaili BRAC Tanzania 2026

    Maswali ya Usaili BRAC Tanzania 2026 Interview Brac Finan

    Haya hapa maswali ya Usaili mbalimbali kutoka BRAC Tanzania Finance kujiandaa na interview itakayo fanyika siku chache zijazo. Kama kuna makosa au unataka kuongezea maswali comment hapo chini au yatume kwa admin. Maswali kuanzia 2021 mpaka 2026...
  8. Nafasi za Kazi EFTA Tanzania

    Nafasi za Kazi EFTA Tanzania 17-02-2026

    Hili hapa tangazo la Nafasi za Kazi EFTA Tanzania kwa Watanzania wote wenye sifa waweze kutuma maombi katika ajira mpya hizi zilizotangazwa siku ya leo tarehe 17/02/2026. Tuma maombi hapa. https://efta.co.tz/careers
  9. Nafasi za Kazi Kutoka UBONGO Tanzania Januari

    Nafasi za Kazi Kutoka UBONGO Tanzania Januari 2026

    UBONGO ni kampuni maarufu Afrika inayotengeneza burudani za elimu kwa watoto. Kama shirika lisilo la kifaida, tunabuni maudhui ya kufurahisha, yanayoendana na tamaduni za Kiafrika, na yanayopatikana kwenye majukwaa mbalimbali. Maudhui haya yanasaidia watoto kujifunza na kutumia maarifa yao...
  10. Nafasi za Kazi Kutoka kampuni ya Coca-Cola Kwanza Ltd

    Nafasi za Kazi Kutoka kampuni ya Coca-Cola Kwanza Ltd 16-02-2026

    Coca-Cola Kwanza Ltd ina nafasi ya kipekee kwenye Idara ya Uzalishaji! Tunatafuta watu wenye vipaji, ujuzi, na uzoefu sahihi katika uzalishaji kwa nafasi ya Kiongozi wa Timu ya Ufungashaji, nafasi ambayo itakuwa jijini Dar es Salaam. Mtu atakayefanikiwa ataripoti moja kwa moja kwa Meneja wa...
  11. Nafasi za kazi Vodacom Tanzania

    Nafasi za kazi Vodacom Tanzania 16-02-2026

    Wananchi, Hizi hapa Nafasi za kazi Vodacom Tanzania 2026 zilizo tangazwa kwa watanzania wote wenye sifa, nia, ari na vigezo vyote waweze kutuma maombi kuanzia siku ya leo. Vodacom tunafanya kazi kwa bidii kujenga kesho bora zaidi. Tunatafuta kuleta dunia inayounganishwa zaidi, jumuishi, na...
  12. Sifa za Kujiunga na JKT Nafasi za kazi JWTZ | Ajira za Jeshi la Wananchi Tanzania

    Sifa za Kujiunga na JKT Nafasi za kazi JWTZ | Ajira za Jeshi la Wananchi Tanzania 29-12-2026

    Hizi hapa Sifa za Kujiunga na JKT Nafasi za kazi JWTZ | Ajira za Jeshi kila zinapotangazwa kwa mwaka 2026. Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) ni taasisi muhimu nchini Tanzania inayotoa nafasi kwa vijana kujifunza maadili, ukakamavu, na uzalendo kupitia mafunzo ya kijeshi na kijamii. Programu hii...
  13. Nafasi 7 za Ajira Mpya Barrick

    Nafasi 7 za Ajira Mpya Barrick 16-02-2026

    Barrick wametangaza nafasi za kazi mpya 7 kwa watanzania wote wenye sifa waweze kutuma maombi kuanzia siku ya leo mapema kujaza ajira mpya zifuatazo hapo chini. Bonyeza hapa kutuma maombi
  14. Nafasi za Graduate Barrick Tanzania

    Nafasi za Graduate Barrick Tanzania 16-02-2026

    Nafasi za Graduate Barrick Tanzania Programu ya Maendeleo kwa Wahitimu 2026 – Mgodi wa Dhahabu wa Bulyanhulu Mgodi wa Dhahabu wa Bulyanhulu unafurahi kuwakaribisha wahitimu wachangamfu na wenye malengo makubwa kujiunga na Programu yetu ya Maendeleo kwa Wahitimu ya mwaka 2026. Hii ni nafasi yako...
  15. Walioitwa kwenye Usaili Mkoa wa Songwe

    Walioitwa kwenye Usaili Mkoa wa Songwe 31-01-2026

    Hili hapa tangazo la orodha ya majina ya Walioitwa kwenye Usaili Mkoa wa Songwe waombaji kazi wote walioomba kazi za muda mfupi zilizotangazwa tarehe 02 Januari 2026.
Back
Top Bottom