Jinsi ya Kutuma Maombi Ajira za Jeshi JWTZ

Jinsi ya Kutuma Maombi Ajira za Jeshi JWTZ 15-04-2026

Orodha ya majina ya wanafunzi waliochaguliwa kujiunga na kidato cha tano au Jinsi ya kuangalia selection za form six selection 2026 Tamisemi
Bonyeza hapo juu kujiunge na Group la Form Six Selection 2026 hapa
Hizi hapa hatua kwa hatua Jinsi ya Kutuma Maombi Ajira za Jeshi JWTZ Maombi yote yaandikwe kwa mkono na yawasilishwe Makao Makuu ya Jeshi Dodoma kuanzia tarehe 14 Aprili, 2026 hadi tarehe 28 Aprili, 2026 yakiwa na viambatisho vifuatavyo:

a. Nakala ya Kitambulisho cha Taifa au namba ya NIDA.
b. Nakala ya cheti cha kuzaliwa, vyeti vya Shule na Chuo.
c. Nakala ya cheti cha JKT kwa waombaji waliomaliza mkataba wa kujitolea.
d. Nambari ya simu ya mkononi ya mwombaji.

Maombi yatumwe kwa Anuani Ifuatayo:

Mkuu wa Utumishi Jeshini

Makao Makuu ya Jeshi,
Sanduku la Posta 194,
DODOMA, Tanzania
Jinsi ya Kutuma Maombi Ajira za Jeshi JWTZ


Jinsi ya Kutuma Maombi Ajira za Jeshi JWTZ


Jinsi ya Kutuma Maombi Ajira za Jeshi JWTZ
 
Last edited by a moderator:
Samahani Ndugu zangu Hizi nafasi za jeshi maombi yanapelekwa physically au tunatuma maombi kwa njia ya posta?
 
Similar content Most view View more
Back
Top Bottom