Nafasi za kazi MUHAS Disemba 2024

Ajira Nafasi za kazi MUHAS Disemba 2024 25-12

Haya hapa Matokeo ya Kidato cha Sita TUNDURU SECONDARY SCHOOL 2026-S0404 yaliyotangazwa na Baraza la Mitihani la Tanzania (NECTA) Katika Mtihani wa Form six (ACSEE) 2026/2027 jumla ya wanafunzi wengi wamefaulu.
Bonyeza hapo juu kujiunge na Group la wanachuo waliomaliza kidato cha sita 2026 hapa baada ya matokeo ya form six 2026
Chuo Kikuu cha Afya na Sayansi Shirikishi Muhimbili (MUHAS) kinayo furaha kutangaza nafasi mbalimbali za ajira katika Shule yake ya Meno. Nafasi hizi zinapatikana kwa mkataba wa miaka miwili, na chuo kinatafuta Watanzania wenye sifa stahiki kujiunga na timu yao yenye heshima kubwa. Ikiwa una shauku ya kuchangia katika sekta ya afya na elimu, hii ni fursa yako kuwa sehemu ya mojawapo ya taasisi zinazoongoza nchini Tanzania katika masuala ya kitaaluma na huduma za afya.
Nafasi za kazi MUHAS Disemba 2024

Screenshot 2024-12-25 143934.webp

Screenshot 2024-12-25 144020.webp

Screenshot 2024-12-25 144059.webp

Screenshot 2024-12-25 144137.webp

Download PDF hapo juu.
Author
Gift
Downloads
561
Views
1,238
First release
Last update

Ratings

0.00 star(s) 0 ratings

More resources from Gift

Similar content Most view View more
Back
Top Bottom