Tangazo la Nafasi za Kazi MBIFACU - Desemba 2024

Ajira Tangazo la Nafasi za Kazi MBIFACU - Desemba 2024 28-12

Haya hapa Matokeo ya Kidato cha Sita TUNDURU SECONDARY SCHOOL 2026-S0404 yaliyotangazwa na Baraza la Mitihani la Tanzania (NECTA) Katika Mtihani wa Form six (ACSEE) 2026/2027 jumla ya wanafunzi wengi wamefaulu.
Bonyeza hapo juu kujiunge na Group la wanachuo waliomaliza kidato cha sita 2026 hapa baada ya matokeo ya form six 2026
Mbinga Farmers’ Cooperative Union (MBIFACU) LTD ilianzishwa chini ya Sheria ya Vyama vya Ushirika Na. 6 ya mwaka 2013 kama Muungano wa Ushirika unaowahudumia na kuwa wakala wa Vyama 114 vya Ushirika wa Masoko ya Kilimo (AMCOS) katika Kanda ya Kusini mwa Tanzania. Muungano huu unafanya kazi katika Wilaya mbili za Mbinga na Nyasa ndani ya Mkoa wa Ruvuma, ukijikita zaidi kwenye zao la kahawa kama zao lake kuu.

Muungano unakaribisha maombi kutoka kwa Watanzania wenye sifa na uzoefu wa kutosha kwa ajili ya kujaza nafasi ifuatayo:
Tangazo la Nafasi za Kazi MBIFACU - Desemba 2024
  • Like
Reactions: Yassin
Author
Gift
Downloads
879
Views
1,078
First release
Last update

Ratings

0.00 star(s) 0 ratings

More resources from Gift

Similar content Most view View more
Back
Top Bottom