Tangazo la Nafasi za Kazi Wilaya ya Mafia - Desemba 2024

Ajira Tangazo la Nafasi za Kazi Wilaya ya Mafia - Desemba 2024

Bonyeza hapo kujiunga nasi kupata matangazo mbalimbali ya kazi, Maswali ya Usaili.
Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Mafia amepokea Kibali cha Ajira Mpya kwa Ikama ya Mwaka wa Fedha 2023/2024 kutoka kwa Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora chenye Kumb. Na. FA.97/288/01/09 cha tarehe 25 Juni, 2024 kwa upande wa nafasi za Msaidizi wa Kumbukumbu Daraja la II na Kibali cha Ajira Mbadala chenye Kumb. Na. FA.228/613/01/D/065 cha tarehe 09 Julai, 2024 kwa upande wa nafasi ya Mtendaji wa Kijiji Daraja la III. Hivyo Watanzania wote wenye sifa wanatangaziwa kutuma maombi ya kazi kwa nafasi zifuatazo:
Tangazo la Nafasi za Kazi Wilaya ya Mafia - Desemba 2024.webp

Screenshot_20241227-165937_Office Mobile.webp

Screenshot_20241227-165946_Office Mobile.webp

Screenshot_20241227-165952_Office Mobile.webp

Screenshot_20241227-165957_Office Mobile.webp
Author
Gift
Views
2,614
First release
Last update

Ratings

0.00 star(s) 0 ratings

More resources from Gift

Similar resources Most view View more
Hatua za Kuuliza swali. Anza na Title ya swali kisha Chini yake weka maelezo kuhusu swali lako.
Back
Top Bottom