TAARIFA KUHUSU USAILI WA KADA ZA UALIMU 2024/2025 AJIRA PORTAL - UTUMISHI AJIRA ZA WALIMU 2025
Ofisi ya Rais, Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma ilitoa taarifa ya kusitishwa usaili wa Walimu tarehe 17 Oktoba, 2024 ambapo taarifa hiyo ilitokana na tangazo la kuitwa kwenye usaili la...
Ofisi ya Rais, Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma ilitoa taarifa ya kusitishwa usaili wa Walimu tarehe 17 Oktoba, 2024 ambapo taarifa hiyo ilitokana na tangazo la kuitwa kwenye usaili la terehe 15 Oktoba, 2024.
Hivyo, kupitia tangazo hili, Katibu wa Ofisi ya Rais, Sekretarieti ya...
Hili hapa Nafasi za Kazi Shule ya Msingi Tumaini Desemba 2024 lililo tangazwa kwa watanzania wote wenye sifa waweze kujaza nafasi za Ajira zilizo tangazwa kama lilivyo ainishwa hapa chini.