nafasi za kazi

Bonyeza hapo kujiunga nasi kupata matangazo mbalimbali ya kazi, Maswali ya Usaili.
  1. Nafasi za kazi 4 PIVOTECH Ajira Mpya Kampuni ya Trainee December 2024

    Nafasi za kazi 4 PIVOTECH Ajira Mpya Kampuni ya Trainee December 2024

    Wananchi, Hizi hapa Nafasi za kazi 4 PIVOTECH Ajira Mpya Kampuni ya PIVOTECH December 2024 zilizo tangazwa kwa watanzania wote wenye siffa, nia, ari na vigezo vyote waweze kutuma maombi kuanzia siku ya leo. PIVOTECH ni kampuni ya huduma za uhandisi inayobobea katika huduma za uendeshaji na...
  2. Nafasi za kazi Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC) December 2024

    Nafasi za kazi Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC) December 2024

    Hizi hapa Nafasi za kazi Kwa niaba ya Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC), Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma (PSRS) inakaribisha Watanzania wenye sifa, ujuzi, na ari ya kazi kujitokeza kuomba nafasi moja ya kazi kama ilivyoainishwa hapa chini December 2024. Shirika la...
  3. Nafasi za kazi Gran Melia Arusha December 2024

    Nafasi za kazi Gran Melia Arusha December 2024

    Hizi hapa Nafasi za kazi Gran Melia Arusha December 2024 zilizo tangazwa kwa watanzania wote wenye nia, ari na sifa kwa kufata vigezo vilivyo ainishwa katika tangazo hili.
  4. KUITWA KAZINI KADA ZA AFYA NA TAASISI MBALIMBALI 5 DESEMBA 2024

    KUITWA KAZINI KADA ZA AFYA NA TAASISI MBALIMBALI 5 DESEMBA 2024

    TANGAZO LA KUITWA KAZINI Katibu wa Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma anapenda kuwataarifu waombaji kazi wa nafasi mbalimbali waliofanya usaili kati ya tarehe 03-09-2024 na tarehe 11-09-2024 kuwa matokeo ya waombaji kazi waliofaulu usaili yatatolewa hivi karibuni. Orodha ya wagombea...
  5. Orodha ya Majina ya Walioitwa kwenye Usaili IAE, MNMA December 2024

    Orodha ya Majina ya Walioitwa kwenye Usaili IAE, MNMA December 2024

    Hii hapa Orodha ya Majina ya Walioitwa kwenye Usaili IAE, MNMA December 2024 PDF. Katibu wa Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma kwa niaba ya Taasisi ya Elimu ya Watu Wazima (IAE), Chuo cha Kumbukumbu ya Mwalimu Nyerere (MNMA) anapenda kuwataarifu Waombaji Kazi wote walioomba kazi kuwa...
  6. S

    Nafasi za kazi Zarnub Inter Trade December 2024

    Hizi hapa Nafasi za kazi Zarnub Inter Trade December 2024 zilizo tangazwa kwa watanzania wote wenye nia na sifa waweze kutuma maombi yao kuanzia siku ya leo.
  7. Nafasi za kazi Jhpiego Tanzania December 2024

    Nafasi za kazi Jhpiego Tanzania December 2024

    Hizi hapa Nafasi za kazi kutoka Jhpiego Tanzania December 2024 zilizo tangazwa leo hii kwa watanzania wote wenye sifa waweze kutuma maombi kuanzia muda huu. Jhpiego ni shirika lisilo la faida linaloongoza kimataifa katika kubuni na kutoa suluhisho bunifu za huduma za afya kwa nchi...
  8. Nafasi za kazi Chuo Kikuu cha Kiislamu Morogoro (MUM) Desemba 2024

    Nafasi za kazi Chuo Kikuu cha Kiislamu Morogoro (MUM) Desemba 2024

    Chuo Kikuu cha Kiislamu Morogoro (MUM) ni taasisi ya elimu ya juu inayomilikiwa na Muslim Development Foundation (MDF). Chuo hiki kina maono ya kuwa kitovu cha ubora kwa kutoa programu za kisasa zinazokidhi mahitaji ya mtu binafsi na taifa kwa ujumla katika dunia ya kisasa, huku kikiongozwa na...
  9. Nafasi za Kazi Parrot Hotel Arusha Desemba 2024

    Nafasi za Kazi Parrot Hotel Arusha Desemba 2024

    Hizi hapa Nafasi za Kazi Parrot Hotel Arusha Desemba 2024 zilizo tangazwa kwa watanzania wote wenye sifa waweze kutuma maombi kuanzia siku ya leo.
  10. Nafasi za Kazi kutoka Adundo Travel LTD November 2024

    Nafasi za Kazi kutoka Adundo Travel LTD November 2024

    Hizi hapa Nafasi za Kazi kutoka Adundo Travel LTD November 2024 zilizo tangazwa kwa watanzania wote wenye nia, ari na sifa, waweze kutuma maombi kuanzia leo na mwisho wa kutuma maombi ni leo tarehe 29/11/2024.
  11. Nafasi za kazi Alexia Hospital November 2024

    Nafasi za kazi Alexia Hospital November 2024

    Hili hapa Tangazo la Nafasi za kazi Alexia Hospital November 2024 lililo tangazwa kwa watanzania wote wenye nia, ari na sifa waweze kutuma maombi kuanzia siku ya leo.
  12. G

    Nafasi za kazi Paylon LTD November 2024

    Hizi hapa Nafasi za kazi Paylon LTD November 2024. Kampuni ya Fintech inayofanya kazi jijini Dar es Salaam, Tanzania, inatafuta kuajiri Afisa wa Hatari na Uzingatiaji (Risk and Compliance Officer) mwenye uzoefu na ari ya kazi kujiunga na timu yetu mahiri. Lengo ni kusaidia kushughulikia...
  13. Nafasi za kazi AIRCOM Tanzania November 2024

    Nafasi za kazi AIRCOM Tanzania November 2024

    Hizi hapa Nafasi za kazi AIRCOM Tanzania November 2024 zilizo tangazwa kwa watanzania wote wenye sifa kuanzia leo waweze kutuma maombi.
  14. Nafasi za kazi Mwananchi Communications Limited (MCL) November 2024

    Nafasi za kazi Mwananchi Communications Limited (MCL) November 2024

    Tangazo la Ajira: Mkurugenzi Mtendaji (MD) - Mwananchi Communications Limited (MCL) Kampuni: Nation Media Group (NMG) Tawi: Mwananchi Communications Limited (MCL), Tanzania Maelezo ya Nafasi: Nation Media Group (NMG) inatafuta kiongozi mwenye uzoefu na maono makubwa kuchukua nafasi ya...
  15. G

    Nafasi 10 za Madereva kutoka Kampuni ya Mafuta na Gesi

    NAFASI YA KAZI: MADEREVA ( 10 ) KAMPUNI: MAFUTA NA GESI HR World Ltd Kwa niaba ya mteja wetu, tuna tafuta madereva wa Malori (Gari kubwa) na magari aina ya Tipper. MAHITAJI; • Barua ya Maombi ya kazi na CV • Leseni ya Udereva daraja E • Barua ya kusitisha au kumaliza mkataba na...
  16. Nafasi za kazi Coolblue Tanzania LTD November 2024

    Nafasi za kazi Coolblue Tanzania LTD November 2024

    Hizi hapa Nafasi za kazi Coolblue Tanzania LTD November 2024 zilizo tangazwa siku ya leo kwa watanzania wote wenye sifa waweze kutuma maombi kuanzia sasa.
  17. Nafasi za kazi Shugulika Africa LTD November 2024

    Nafasi za kazi Shugulika Africa LTD November 2024

    Hizi hapa Nafasi za kazi Shugulika Africa LTD November 2024 zilizo tangazwa kwa watanzania wote wenye sifa na nia ya kutuma maombi kuanzia leo.
  18. Nafasi za Kazi Chinangali BBT AMCOS Limited

    Nafasi za Kazi Chinangali BBT AMCOS Limited

    Bodi ya Chinangali BBT AMCOS Limited inatangaza nafasi ya kujitolea ya MENEJA (1) na MHASIBU (1). Tunakaribisha maombi kutoka kwa waombaji wenye sifa na walio na nia ya kujifunza na kuleta mabadiliko chanya katika chama chetu. MAJUKUMU YA MENEJA Meneja wa Chama atakuwa na wajibu wa kusimamia...
  19. Nafasi za Kazi Nono Supermarket Tanzania

    Nafasi za Kazi Nono Supermarket Tanzania

    Hizi hapa Nafasi za Kazi Nono Supermarket Tanzania zilizo tangazwa siku ya leo kwa watanzania wote wenye nia, ari na sifa, waweze kutuma maombi. 1. Wahudumu (Supermarket Assistant) Majukumu: Kusindikiza wateja Kumsaidia mteja kupata bidhaa kwa urahisi Kuhakikisha bidhaa zilizopngua zinafika...
  20. Nafasi za kazi Medinova, imetangaza ajira mpya

    Nafasi za kazi Medinova, imetangaza ajira mpya

    Wakuu hizi hapa nafasi za kazi zilizo tangazwa kutoka Medinova ya Dar es salaam Tanzania.
Hatua za Kuuliza swali. Anza na Title ya swali kisha Chini yake weka maelezo kuhusu swali lako.
Back
Top Bottom