simba sc vs cs sfaxien

Bonyeza hapo kujiunga nasi kupata matangazo mbalimbali ya kazi, Maswali ya Usaili.
  1. Je, Kikosi cha SIMBA SC Vs CS SFAXIEN Leo Tarehe 05 Januari 2024 Kitatoboa?

    Je, Kikosi cha SIMBA SC Vs CS SFAXIEN Leo Tarehe 05 Januari 2024 Kitatoboa?

    Kikosi chetu cha Simba Sc kinapambana leo na CS Sfaxien – Kombe la Shirikisho Afrika Leo saa moja usiku, kikosi cha Simba kitashuka dimbani katika Uwanja wa Hammadi Agrebi, Tunis, kupambana na CS Sfaxien katika mchezo wa nne wa hatua ya makundi ya Kombe la Shirikisho Afrika. Ni mechi ya ugenini...
  2. Simba Wabadirishiwa Uwanja CAFCC

    Simba Wabadirishiwa Uwanja CAFCC

    Mchezo wa CAF Confederation Cup kati ya CS Sfaxien dhidi ya Simba SC utachezwa katika Uwanja wa Olympique Rades unaopatikana Jijini Tunis BADALA YA uwanja wa nyumbani wa CS Sfaxien unaoitwa Taeib Mehir uliopo katika mji wa Sfax kilomita 267 kuelekea Tunis Sfaxien wanaenda kutumia uwanja wa Rades...
  3. Mpanzu Sasa Kuitumikia Simba sports club Katika Michuano Ya Shirikisho Africa CAFCC

    Mpanzu Sasa Kuitumikia Simba sports club Katika Michuano Ya Shirikisho Africa CAFCC

    Klabu ya Simba SC imefanikiwa kumsajili kwenye mfumo wa CAF winga wao mpya Ellie Mpanzu na sasa nyota huyo anaruhusiwa kuichezea Simba kwenye mechi za kombe la shirikisho (CAF Confederation Cup) na ataanza jumapili January 05, dhidi ya CS Sfaxien ya Tunisia mchezo utaochezwa majira ya saa 1:00...
  4. Michezo ya Leo Ligi ya mabingwa Africa (CAFCL) na Ligi ya shirikisho Africa (CAFCC)

    Michezo ya Leo Ligi ya mabingwa Africa (CAFCL) na Ligi ya shirikisho Africa (CAFCC)

    Wawakirishi pekee wa Tanzania katika michuano ya shirikisho Africa Leo Simba sports club kukipinga na CS SFAXIEN saa 10:00 jioni, uwanja wa Mkapa Tanzania Simba sports club Kwa Sasa wanashika nafasi ya pili wakiwa na alama tatu Nyuma ya kinara wa kundi Cs Constantine ya Algeria yenye alama 6...
  5. Kikosi cha SIMBA SC Vs CS SFAXIEN Leo Jumapili Tahere 15 Disemba 2024 Kombe la Shirikisho la CAF

    Habari za Michezo Kikosi cha SIMBA SC Vs CS SFAXIEN Leo Jumapili Tahere 15 Disemba 2024 Kombe la Shirikisho la CAF

    Mechi inayosubiriwa kwa hamu kati ya Simba SC ya Tanzania na CS Sfaxien ya Tunisia kwenye Kombe la Shirikisho la CAF ni zaidi ya pambano la pointi tatu. Huu ni mchezo wa heshima, historia, na nafasi ya kuonyesha ubabe kwenye soka la Afrika. Mashabiki wa soka barani Afrika wanatarajia burudani ya...
Hatua za Kuuliza swali. Anza na Title ya swali kisha Chini yake weka maelezo kuhusu swali lako.
Back
Top Bottom