utumishi

Bonyeza hapo kujiunga nasi kupata matangazo mbalimbali ya kazi, Maswali ya Usaili.
  1. MATOKEO YA USAILI WA VITENDO ULIOFANYIKA TAREHE 06/05/2025 AJIRA PORTAL

    MATOKEO YA USAILI WA VITENDO ULIOFANYIKA TAREHE 06/05/2025 AJIRA PORTAL Utumishi

    Haya hapa matokeo ya usaili wa vitendo uliofanyika tarehe 06/05/2025 Ajira portal Wasailiwa wote waliochaguliwa kuendelea na hatua zinazofuata wanatakiwa kuzingatia muda na eneo la kufanyia usaili. Wasailiwa wote wanakumbushwa kufika na vyeti vyao halisi (Original Certificates) pamoja na...
  2. Kibali cha Ajira Mpya 33,212 Walimu, Afya na kada Mbalimbali Utumishi

    Kibali cha Ajira Mpya 33,212 Walimu, Afya na kada Mbalimbali Utumishi 7-5-2025

    Kibali cha Ajira Mpya 33,212 Walimu, Afya na kada Mbalimbali Utumishi. Jitihada za serikali katika kipindi hiki cha Awamu ya Sita chini ya uongozi wa Dkt. Samia Suluhu Hassan, ajira mpya zilizokuwa zimejazwa ni takriban ajira 149,000, lakini ajira mbadala ambazo Rais Samia Suluhu Hassan alitoa...
  3. MATOKEO YA USAILI AJIRA PORTAL WA KUANDIKA ULIOFANYIKA TAREHE 04/01/2025

    MATOKEO YA USAILI AJIRA PORTAL WA KUANDIKA ULIOFANYIKA TAREHE 04/01/2025

    Haya hapa matokeo ya usaili Ajira Portal wa kuandika ulifanyika tarehe jana tarehe 04/01/2025 Sekretarieti ya Ajira Utumishi Wasailiwa wote waliochaguliwa (SELECTED) wanatakiwa kuzingatia muda na eneo la usaili. Wasailiwa wote wanakumbushwa kufika na vyeti vyao halisi (Original Certificates)...
  4. Nafasi za Ufadhili wa Masomo kwa Kozi fupi India Kupitia Utumishi 2025

    Nafasi za Ufadhili wa Masomo kwa Kozi fupi India Kupitia Utumishi 2025

    Maombi yanakaribishwa kutoka kwa watumishi wa serikali wa Tanzania wenye sifa, ili kujiunga na kozi za mafunzo zifuatazo ambazo zitafanyika nchini India. A. Ugaramiaji wa masomo Gharama zote za mafunzo chini ya Mpango huu, ikijumuisha tiketi za ndege za kwenda na kurudi, ada za masomo, malazi...
  5. Vitu vya kuzingaia unapokwenda kwenye Usaili Ajira Portal

    Vitu vya kuzingaia unapokwenda kwenye Usaili Ajira Portal

    Hivi hapa Vitu vya kuzingaia unapokwenda kwenye Usaili Ajira Portal katika saili mbalimbali zinazofanyishwa na Sekreatrieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma kwa kada zote.
  6. G

    Ajira Majina ya Walioitwa Kazini Ajira Portal - Taasisi Mbalimbali Serikalini 27-12

    Hii hapa Orodha ya Majina ya Walioitwa Kazini Ajira Portal - Taasisi Mbalimbali Serikalini. Katibu wa Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma anapenda kuwataarifu waombaji kazi wa nafasi mbalimbali waliofanya usaili kati ya tarehe 21 Aprili 2024 na tarehe 18 Novemba 2024 kuwa matokeo ya...
  7. G

    Ajira Nafasi za kazi Mbeya Cement Tanzania Disemba 2024 25-12

    Tangazo la Ajira mpya kutoka Mbeya Cement Pakua PDF hapo Juu sehemu iliyo andikwa "Download"
  8. G

    Ajira MATOKEO YA USAILI WA VITENDO CHUO KIKUU CHA SAYANSI NA TEKNOLOJIA MBEYA (MUST) LEO DISEMBA 2024 18/12

    MATOKEO YA USAILI WA VITENDO CHUO KIKUU CHA SAYANSI NA TEKNOLOJIA MBEYA (MUST) ULIOFANYIKA TAREHE 18/12/2024 UTUMISHI Pakua PDF zote hapo juu.
  9. Ajira Portal | Orodha ya Majina ya Walioitwa kwenye Usaili MDAs & LGAs, Mipango ya Maendeleo Vijijini (IRDP)

    Ajira Portal | Orodha ya Majina ya Walioitwa kwenye Usaili MDAs & LGAs, Mipango ya Maendeleo Vijijini (IRDP)

    Ajira Portal | Orodha ya Majina ya Walioitwa kwenye Usaili Katibu wa Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma kwa niaba ya MDAs & LGAs, Chuo cha Mipango ya Maendeleo Vijijini (IRDP) anapenda kuwataarifu Waombaji Kazi wote walioomba kazi kuwa usaili unatarajiwa kuendeshwa kuanzia tarehe 02...
  10. Nafasi za kazi 73 Wizara ya Ardhi December 2024

    Nafasi za kazi 73 Wizara ya Ardhi December 2024

    Wananchi, Hizi hapa Nafasi za kazi 73 Wizara ya Ardhi December 2024 zilizo tangazwa kwa watanzania wote wenye siffa, nia, ari na vigezo vyote waweze kutuma maombi kuanzia siku ya leo zilizo tangazwa na Sekretarieti ya Ajira kupitia Utumishi wa Umma Ajira portal. Wizara ya Ardhi ilianzishwa kama...
  11. Orodha ya Majina ya Walioitwa Kazini Wilaya ya Sengerema December 2024

    Orodha ya Majina ya Walioitwa Kazini Wilaya ya Sengerema December 2024

    Hii hapa Orodha ya Majina ya Walioitwa Kazini Wilaya ya Sengerema December 2024. Katibu wa Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma anawafahamisha waombaji kazi wa nafasi mbalimbali waliofanya usaili tarehe 09-09-2024 kuwa matokeo ya waliofaulu sasa yanapatikana. Hii ni hatua muhimu katika...
  12. Nafasi za kazi ICGLR Utumishi December 2024

    Nafasi za kazi ICGLR Utumishi December 2024

    Wananchi, Hizi hapa Nafasi za kazi ICGLR Utumishi December 2024 zilizo tangazwa kwa watanzania wote wenye siffa, nia, ari na vigezo vyote waweze kutuma maombi kuanzia siku ya leo. Kwa niaba ya Sekretarieti ya Mkutano wa Kimataifa wa Kanda ya Maziwa Makuu (ICGLR), Ofisi ya Rais – Menejimenti ya...
  13. Matokeo ya Usaili wa Vitendo TATC, TIE, NIT December 2024

    Matokeo ya Usaili wa Vitendo TATC, TIE, NIT December 2024

    Haya hapa Matokeo ya Usaili wa Vitendo TATC, TIE, NIT December 2024, yaliyo tangazwa na Sekretarieti ya Ajira Tanzania uliofanyika tarehe 9 Desemba 2024, orodha kamili ya majina yapo chini hapa. Pia unaweza kuona katika akaunti yako ya Ajira portal. Usaili wa Vitendo TATC, TIE, NIT ARTISAN...
  14. Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma (PSRS) Nafasi za kazi Zilizo Tangazwa

    Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma (PSRS) Nafasi za kazi Zilizo Tangazwa

    Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma (PSRS) ni chombo muhimu cha serikali kilichoundwa kusaidia mchakato wa kuajiri wafanyakazi wenye ujuzi, sifa, na weledi unaohitajika katika sekta ya umma. Kwa kuwa ni chombo huru, PSRS inahakikisha mchakato wa ajira unafuata viwango vya uwazi, usawa...
  15. Matokeo ya Usaili wa kuandika Chuo cha Taifa cha Usafirishaji (NIT) December 2024

    Matokeo ya Usaili wa kuandika Chuo cha Taifa cha Usafirishaji (NIT) December 2024

    Wananchi, Haya hapa Matokeo ya Usaili wa kuandika Chuo cha Taifa cha Usafirishaji (NIT) December 2024 yaliyo tangazwa na Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma. Wasailiwa wote waliochaguliwa (SELECTED) wanatakiwa kuzingatia muda na eneo la usaili. Wasailiwa wote wanakumbushwa kufika na...
  16. Matokeo ya Usaili wa Vitendo UDSM, TMA December 2024

    Matokeo ya Usaili wa Vitendo UDSM, TMA December 2024

    Haya hapa Matokeo ya Usaili wa Vitendo UDSM, TMA December 2024 kutoka Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma. Wasailiwa wote waliochaguliwa (SELECTED) wanatakiwa kuzingatia muda na eneo la usaili, Wasailiwa wote wanakumbushwa kufika na vyeti vyao halisi (Original Certificates) Wasailiwa...
  17. Matokeo ya Usaili wa Kuandika UDSM, NIT, TMA 07-12-2024

    Matokeo ya Usaili wa Kuandika UDSM, NIT, TMA 07-12-2024

    Haya hapa Matokeo ya Usaili Ajira Portal na Utumishi wa Kuandika UDSM, NIT, TMA, yaliyo tangazwa na Sekretarieti ya Ajira Tanzania uliofanyika tarehe 7 Desemba 2024, orodha kamili ya majina ya waliotwa kuendelea na usaili na waliofaulu yapo chini hapa. Angalizo: Wasailiwa wote waliochaguliwa...
  18. Orodha ya Majina ya Walioitwa kwenye Usaili MJNUAT December 2024

    Orodha ya Majina ya Walioitwa kwenye Usaili MJNUAT December 2024

    Hii hapa Orodha ya Majina ya Walioitwa kwenye Usaili MJNUAT. Katibu wa Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma, kwa niaba ya Chuo Kikuu cha Mwalimu Julius K. Nyerere cha Kilimo na Teknolojia (MJNUAT), anapenda kuwataarifu Waombaji Kazi wote walioomba kazi kuwa usaili utafanyika kuanzia...
  19. Matokeo ya Usaili wa kuandika Shirika la Nyumbu (TATC) December 2024

    Matokeo ya Usaili wa kuandika Shirika la Nyumbu (TATC) December 2024

    HAYA HAPA MATOKEO YA USAILI WA KUANDIKA SHIRIKA LA NYUMBU (TATC) ULIOFANYIKA TAREHE 06/12/2024 Mwongozo: Wasailiwa wote waliochaguliwa (SELECTED) wanatakiwa kuzingatia muda na eneo la usaili., Wasailiwa wote wanakumbushwa kufika na vyeti vyao halisi (Original Certificates), Wasailiwa wote...
  20. KUITWA KAZINI KADA ZA AFYA NA TAASISI MBALIMBALI 5 DESEMBA 2024

    KUITWA KAZINI KADA ZA AFYA NA TAASISI MBALIMBALI 5 DESEMBA 2024

    TANGAZO LA KUITWA KAZINI Katibu wa Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma anapenda kuwataarifu waombaji kazi wa nafasi mbalimbali waliofanya usaili kati ya tarehe 03-09-2024 na tarehe 11-09-2024 kuwa matokeo ya waombaji kazi waliofaulu usaili yatatolewa hivi karibuni. Orodha ya wagombea...
Hatua za Kuuliza swali. Anza na Title ya swali kisha Chini yake weka maelezo kuhusu swali lako.
Back
Top Bottom