wananchi forum

Bonyeza hapo kujiunga nasi kupata matangazo mbalimbali ya kazi, Maswali ya Usaili.
  1. Wachezaji Simba sports club Wapewa Mapumziko.

    Wachezaji Simba sports club Wapewa Mapumziko.

    Kocha Fadlu Davids amewapa mapumziko ya siku mbili wachezaji wake ambapo ni leo na kesho Jumatatu Kikosi kitarejea mazoezini Jumanne asubuhi na jioni kitaanza safari kuelekea Tunisia kwaajili ya mchezo wa CAFCC dhidi ya CS Sfaxien utakaochezwa jumapili ya Januari 5 mwakani 2025 Simba watafika...
  2. Magazeti Ya Michezo Leo Jumatano 25 December 2024

    Magazeti Ya Michezo Leo Jumatano 25 December 2024

    Haya hapa Magazeti Ya Michezo Leo Jumatano 25 December 2024
  3. Ratiba ya Mapinduzi Cup 2025

    Ratiba ya Mapinduzi Cup 2025

    Michuano ya Mapinduzi Cup 2025 inatarajiwa Kuanza rasmi January 03,2024 huku Fainali zikitarajiwa kufanyika January 13,2024. Droo ya kupanga Makundi itafanyika kwenye Uwanja wa Gombani Pemba, ambao utatumika kama uwanja wa mashindano baada ya uwanja wa Amaan kuwa kwenye maboresho. Kwa mujibu...
  4. Mchezo Umetamatika: Simba 2 vs 0 Ken Gold

    Mchezo Umetamatika: Simba 2 vs 0 Ken Gold

    Simba wameifunga Ken Gold katika Ligi kuu ya Nbc Tanzania Magoli mawili "2" Kwa sufuri, Magoli yote yakifunga na Mchezaji Wao hatari Leonel Ateba katika dakika ya 41 na 44 kipindi Cha Kwanza. Simba Sasa anafikisha alama 31 katika michezo 12 ya Ligi kuu Nbc Tanzania. Mfungaji Leonel Ateba nae...
  5. Nafasi za kazi Mansour December 2024

    Nafasi za kazi Mansour December 2024

    Hizi hapa Nafasi za kazi Mansour December 2024. Kufanya shughuli ngumu za upangaji wa usafirishaji na usambazaji wa bidhaa kwa kiwango cha juu, huku ukisimamia kwa uhuru mdogo. Hakikisha utekelezaji wa mbinu bora za usafirishaji na usimamizi wa bidhaa. Msimamizi wa Usafirishaji - Sekta ya...
Hatua za Kuuliza swali. Anza na Title ya swali kisha Chini yake weka maelezo kuhusu swali lako.
Back
Top Bottom