Chuo cha Dar es Salaam Institute of Technology (DIT) Myunga Campus

Chuo cha Dar es Salaam Institute of Technology (DIT) Myunga Campus Ada, Sifa, Vigezo

Orodha ya majina ya wanafunzi waliochaguliwa kujiunga na kidato cha tano au Jinsi ya kuangalia selection za form six selection 2026 Tamisemi
Bonyeza hapo juu kujiunge na Group la Form Six Selection 2026 hapa
Taasisi ya Teknolojia ya Dar es Salaam - Dar es Salaam Institute of Technology (DIT) ina kampasi ya Myunga iliyozinduliwa rasmi tarehe 2 Julai 2020. Kampasi hii iko katika Wilaya ya Momba, Mkoa wa Songwe, na inatoa mafunzo katika uhandisi wa kiraia kuanzia ngazi ya NTA 4 hadi 6.

Kozi: Civil Engineering
Chuo cha Dar es Salaam Institute of Technology (DIT) Myunga Campus

Kwa maelezo zaidi kuhusu programu zinazotolewa, masharti ya kujiunga, na taarifa nyingine, unaweza kutembelea tovuti rasmi ya DIT.
 
Back
Top Bottom