Fahad Bayo Agonga Mwamba Yanga Sc Dirisha Dogo

Fahad Bayo Agonga Mwamba Yanga Sc Dirisha Dogo 2024/2025

Haya hapa Matokeo ya Kidato cha Sita TUNDURU SECONDARY SCHOOL 2026-S0404 yaliyotangazwa na Baraza la Mitihani la Tanzania (NECTA) Katika Mtihani wa Form six (ACSEE) 2026/2027 jumla ya wanafunzi wengi wamefaulu.
Bonyeza hapo juu kujiunge na Group la wanachuo waliomaliza kidato cha sita 2026 hapa baada ya matokeo ya form six 2026

Revoo

Member

Reputation: 22%
Joined
Dec 12, 2024
Messages
194
Club ya Young Africans, imeachana na mpango wa kumsajili mshambuliaji wa kimataifa kutoka Uganda Fahad Bayo, baada ya mchezaji huyo kushindwa kuonyesha kiwango bora ambapo pengine kingeweza kuushawishi uongozi pamoja na benchi la ufundi.
FB_IMG_1736416251165.webp

Licha ya kufanya na mazoezi na klabu hiyo katika viwanja vya Avic Town takribani miezi miwili, mshambuliaji huyo atajiunga na Club Rayon Sports FC ya Nchini Rwanda. IT'S OVER.
 
Back
Top Bottom