Fahad Bayo Agonga Mwamba Yanga Sc Dirisha Dogo

Fahad Bayo Agonga Mwamba Yanga Sc Dirisha Dogo 2024/2025

Bonyeza hapo kujiunga nasi kupata matangazo mbalimbali ya kazi, Maswali ya Usaili.

Revoo

Member

Reputation: 22%
Joined
Dec 12, 2024
Messages
194
Club ya Young Africans, imeachana na mpango wa kumsajili mshambuliaji wa kimataifa kutoka Uganda Fahad Bayo, baada ya mchezaji huyo kushindwa kuonyesha kiwango bora ambapo pengine kingeweza kuushawishi uongozi pamoja na benchi la ufundi.
FB_IMG_1736416251165.webp

Licha ya kufanya na mazoezi na klabu hiyo katika viwanja vya Avic Town takribani miezi miwili, mshambuliaji huyo atajiunga na Club Rayon Sports FC ya Nchini Rwanda. IT'S OVER.
 
Hatua za Kuuliza swali. Anza na Title ya swali kisha Chini yake weka maelezo kuhusu swali lako.
Back
Top Bottom