Hamdi Miloud Autaka Ushindi Singida Black Star Katika Nbc PL

Hamdi Miloud Autaka Ushindi Singida Black Star Katika Nbc PL 2024/2025

Haya hapa Matokeo ya Kidato cha Sita TUNDURU SECONDARY SCHOOL 2026-S0404 yaliyotangazwa na Baraza la Mitihani la Tanzania (NECTA) Katika Mtihani wa Form six (ACSEE) 2026/2027 jumla ya wanafunzi wengi wamefaulu.
Bonyeza hapo juu kujiunge na Group la wanachuo waliomaliza kidato cha sita 2026 hapa baada ya matokeo ya form six 2026

Revoo

Member

Reputation: 22%
Joined
Dec 12, 2024
Messages
194
Kocha mpya wa Singida Black Stars, Hamdi Miloud mwenye uraia pacha wa Algeria na Ufaransa, ambaye amerithi mikoba ya Patrick Aussems, ameeleza kuwa na mpango wa kuifanya timu hiyo kuwa tishio Ligi Kuu Bara kulingana na ubora wa wachezaji alionao.
Screenshot_20250107-234156~2.webp

“Tuna timu yenye vipaji vikubwa na nimejionea uwezo wao. Mchezo wa soka si kushinda tu bali ni kuhusu kutoa burudani kwa mashabiki. Lengo langu ni kuhakikisha timu yangu inacheza soka la kuvutia ambalo litawafanya mashabiki wa Singida Black Stars kujivunia timu yao.”

“Hatutakuwa na njia ya mkato katika kufanikisha malengo yetu. Kila mchezaji atahitajika kuonyesha kiwango cha juu cha ufanisi. Timu yangu itacheza soka la kushambulia, lakini pia tutakuwa na umakini mkubwa katika ulizi,”

“Nina imani kubwa na wachezaji wangu. Kila mmoja wao ana kipaji cha kipekee, tunahitaji kuwa na ushirikiano mzuri uwanjani ili tufikie malengo yetu".
 
Similar content Most view View more
Back
Top Bottom