HESLB Kuongeza Idadi ya Wanufaika wa Mikopo ya Elimu ya Juu Mwaka 2025/2026
Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Prof. Adolf Mkenda, ametangaza kuwa kwa mwaka wa masomo 2025/2026, serikali itaongeza idadi ya wanafunzi watakaonufaika na mikopo ya elimu ya juu kutoka wanafunzi 245,314 mwaka 2024/2025 hadi kufikia 252,773.
Hatua hii ni sehemu ya juhudi za serikali za kuhakikisha fursa zaidi za elimu ya juu zinapatikana kwa Watanzania wengi zaidi, hasa wale wenye uhitaji mkubwa wa kifedha.
Hii ni habari njema kwa wanafunzi wa vyuo vikuu na wale wanaotarajia kujiunga na elimu ya juu nchini.
Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Prof. Adolf Mkenda, ametangaza kuwa kwa mwaka wa masomo 2025/2026, serikali itaongeza idadi ya wanafunzi watakaonufaika na mikopo ya elimu ya juu kutoka wanafunzi 245,314 mwaka 2024/2025 hadi kufikia 252,773.
Hatua hii ni sehemu ya juhudi za serikali za kuhakikisha fursa zaidi za elimu ya juu zinapatikana kwa Watanzania wengi zaidi, hasa wale wenye uhitaji mkubwa wa kifedha.
Hii ni habari njema kwa wanafunzi wa vyuo vikuu na wale wanaotarajia kujiunga na elimu ya juu nchini.