Haya hapa Matokeo ya Kidato cha Sita TUNDURU SECONDARY SCHOOL 2026-S0404 yaliyotangazwa na Baraza la Mitihani la Tanzania (NECTA) Katika Mtihani wa Form six (ACSEE) 2026/2027 jumla ya wanafunzi wengi wamefaulu.
Nina changamoto naomba ufafanuzi kidogo ni vyeti gani vinatakiwa upande wa academic qualifications na vyeti gani vinatakiwa upande wa professional qualifications?
Nina changamoto naomba ufafanuzi kidogo ni vyeti gani vinatakiwa upande wa academic qualifications na vyeti gani vinatakiwa upande wa professional qualifications?
1. Academic qualification unaweka vyeti mfano cheti cha form four, six, chuo,
2. Proffesional qualification kama kozi yako iko chini ya Bodi / wizara mfano kwa watu waliosomea Nursing lazima wawe na leseni hiyo leseni ndio wanaweka hapo kwenye professional qualification.