Kituo Kinachofuata Kwa Yanga SC ni CAFCL Dhidi Ya Tp Mazembe

Kituo Kinachofuata Kwa Yanga SC ni CAFCL Dhidi Ya Tp Mazembe

Orodha ya majina ya wanafunzi waliochaguliwa kujiunga na kidato cha tano au Jinsi ya kuangalia selection za form six selection 2026 Tamisemi
Bonyeza hapo juu kujiunge na Group la Form Six Selection 2026 hapa

Revoo

Member

Reputation: 22%
Joined
Dec 12, 2024
Messages
194
Wananchi baada ya kushinda michezo minne mfululizo ya ligi kuu sasa wanarejea kwenye michuano ya kimataifa.

Ambapo ratiba inaonyesha kuwa Yanga Jumamosi hii January 4,2025 watawakaribisha TP Mazembe katika Uwanja wa Mkapa,Dar.

Wanachi wenye pointi 1 tu wanasaka ushindi wao wa kwanza kwenye michuano ya Ligi ya Mabingwa Africa..

Malengo ya wananchi Yanga ni kukusanya Point Tisa "9" katika Michezo Mitatu "3" ijayo katika michuano ya kilabu bingwa Africa CAFCL
FB_IMG_1735537779305.webp
 
Back
Top Bottom