Kuhusu utofaut wa majina

Kuhusu utofaut wa majina

Haya hapa Matokeo ya Kidato cha Sita TUNDURU SECONDARY SCHOOL 2026-S0404 yaliyotangazwa na Baraza la Mitihani la Tanzania (NECTA) Katika Mtihani wa Form six (ACSEE) 2026/2027 jumla ya wanafunzi wengi wamefaulu.
Bonyeza hapo juu kujiunge na Group la wanachuo waliomaliza kidato cha sita 2026 hapa baada ya matokeo ya form six 2026

tracye

New member

Joined
Jan 21, 2025
Messages
1
Naomba kuuliza kuhusu swala la majina kwenye vyeti vyote natumia AMINA SAID ALLY lakini kwenye cheti cha kuzaliwa jina la baba ni SAID MAKATA ALLY mimi natumia jina la baba na la ukoo je hii inaweza kuleta tatizo lolote? Je nahitaji iyo deed pol?
 
1. Tembelea kwa mwanasheria au Mahakamani watakupa ushauri mzuri zaidi
2. Kwa hiyo issue ni kwenda kuchukua kiapo ukubali kuwa yote hayo majina kama yalivyo kwenye vveti ni yako
 
Similar content Most view View more
Back
Top Bottom