Naomba kuuliza kuhusu swala la majina kwenye vyeti vyote natumia AMINA SAID ALLY lakini kwenye cheti cha kuzaliwa jina la baba ni SAID MAKATA ALLY mimi natumia jina la baba na la ukoo je hii inaweza kuleta tatizo lolote? Je nahitaji iyo deed pol?
Bonyeza hapo kujiunga nasi kupata matangazo mbalimbali ya kazi, Maswali ya Usaili.
Similar content
Most view
View more