@

Kuweka vyeti vya form four na six kwenye mfumo wa Takukuru ni lazima?

Bonyeza hapo kujiunga nasi kupata matangazo mbalimbali ya kazi, Maswali ya Usaili.
Kama unacho upload mkuu. Pitia tangazo upya vizuri.
Wadau Habari za jioni
Samahani naomba msaada kuuliza kwa wadau ambao tayari wameshatuma application za TAKUKURU kama ni lazima kujaza au ku upload vyeti vya form four na six ikiwa tayari ume upload cheti cha chuo kikuu
 
Back
Top Bottom