- Joined
- Apr 20, 2025
- Messages
- 2
Wadau Habari za jioni
Samahani naomba msaada kuuliza kwa wadau ambao tayari wameshatuma application za TAKUKURU kama ni lazima kujaza au ku upload vyeti vya form four na six ikiwa tayari ume upload cheti cha chuo kikuu
Samahani naomba msaada kuuliza kwa wadau ambao tayari wameshatuma application za TAKUKURU kama ni lazima kujaza au ku upload vyeti vya form four na six ikiwa tayari ume upload cheti cha chuo kikuu
Last edited by a moderator: