Kwa Kagoma Simba sports club Wamepata Mtu

Kwa Kagoma Simba sports club Wamepata Mtu

Haya hapa Matokeo ya Kidato cha Sita TUNDURU SECONDARY SCHOOL 2026-S0404 yaliyotangazwa na Baraza la Mitihani la Tanzania (NECTA) Katika Mtihani wa Form six (ACSEE) 2026/2027 jumla ya wanafunzi wengi wamefaulu.
Bonyeza hapo juu kujiunge na Group la wanachuo waliomaliza kidato cha sita 2026 hapa baada ya matokeo ya form six 2026

Revoo

Member

Reputation: 22%
Joined
Dec 12, 2024
Messages
194
Yusuph Kagoma ni miongoni mwa viungo wachache wazawa wanaofanya vizuri sana kwenye Ligi kuu Tanzania Bara hasa kwenye hizi klabu kubwa.

Kagoma amekuwa nguzo kubwa na imara kwa klabu ya Simba jambo ambalo linampa urahisi zaidi kocha Fadlu wa kumtafuta pacha atakayecheza nae.

Kumuweka benchi mchezaji wa kigeni kwenye hizi timu kubwa sio jambo jepesi hadi upambane na uonyeshe uwezo wako haswa.Kagoma anapaswa kupewa sifa zake kwa upambanaji wake.

Naimani kuelekea AFCON na hasa CHAN mwakani 2025 tutakuwa na timu imara ambayo itaenda kushindana sio kushiriki kama ambavyo mara zote tumekuwa tukienda.
FB_IMG_1735468907040.webp
 
Back
Top Bottom