MABADILIKO YA RATIBA YA USAILI KADA YA KITCHEN ATTENDANT III-BENKI KUU YA TANZANIA

MABADILIKO YA RATIBA YA USAILI KADA YA KITCHEN ATTENDANT III-BENKI KUU YA TANZANIA AJIRA PORTAL

Haya hapa Matokeo ya Kidato cha Sita TUNDURU SECONDARY SCHOOL 2026-S0404 yaliyotangazwa na Baraza la Mitihani la Tanzania (NECTA) Katika Mtihani wa Form six (ACSEE) 2026/2027 jumla ya wanafunzi wengi wamefaulu.
Bonyeza hapo juu kujiunge na Group la wanachuo waliomaliza kidato cha sita 2026 hapa baada ya matokeo ya form six 2026
Katibu wa Sekretarieti ya Ajira Katika Utumishi wa Umma anawajulisha waombaji kazi wa Kada ya Kitchen Attendant III ya Benki Kuu ya Tanzania (BOT) kwamba, kutakuwa na usaili wa kuandika (Mchujo) kabla ya usaili wa vitendo. Usaili huo (Mchujo) utafanyika kwa njia ya Mtandao tarehe 31 Mei, 2026, tembelea akaunti yako ya Ajira Portal na tovuti ya ajira.go.tz kwa taarifa zaidi.
MABADILIKO YA RATIBA YA USAILI KADA YA KITCHEN ATTENDANT III-BENKI KUU YA TANZANIA
 
Back
Top Bottom