Mabadiliko ya Tarehe za Usaili kwa Kada Mbalimbali Ajira Portal Waombaji kazi wote walioitwa kwenye usaili wa kuandika kwa njia ya mtandao kwamwezi Machi 2025, wanajulishwa kuwa kuna mabadiliko ya tarehe za usaili kwa baadhiya kada.Mabadiliko hayo yameoneshwa kwa waombaji kazi wote ambao tarehe zao zausaili zimebadilika.Hivyo; waombaji kazi wote wanatakiwa kuzingatia ratiba inoyoonekana kwenye akauntizao za Ajira portal.Aidha, waombaji kazi wote walioitwa kwenye usaili wanakumbushwa kuzingatia mudana vituo vya usaili wa kuandika kwa njia ya mtandao kama vilivyooneshwa kwenyeakaunti zao.Ili kuona ratiba na taarifa zaidi tembelea tovuti yetu ajira.go.tz au piga simuhuduma kwa wateja namba: 026 2160350.
Mabadiliko ya Tarehe za Usaili kwa Kada Mbalimbali Ajira Portal Utumishi
- Thread starter Gift
- Start date
Haya hapa Matokeo ya Kidato cha Sita TUNDURU SECONDARY SCHOOL 2026-S0404 yaliyotangazwa na Baraza la Mitihani la Tanzania (NECTA) Katika Mtihani wa Form six (ACSEE) 2026/2027 jumla ya wanafunzi wengi wamefaulu.
Bonyeza hapo juu kujiunge na Group la wanachuo waliomaliza kidato cha sita 2026 hapa baada ya matokeo ya form six 2026
Similar content
Most view
View more