Mapumziko: Singida BS 0 vs 1 Simbasc Nbc PL

Mapumziko: Singida BS 0 vs 1 Simbasc Nbc PL

Haya hapa Matokeo ya Kidato cha Sita TUNDURU SECONDARY SCHOOL 2026-S0404 yaliyotangazwa na Baraza la Mitihani la Tanzania (NECTA) Katika Mtihani wa Form six (ACSEE) 2026/2027 jumla ya wanafunzi wengi wamefaulu.
Bonyeza hapo juu kujiunge na Group la wanachuo waliomaliza kidato cha sita 2026 hapa baada ya matokeo ya form six 2026

Revoo

Member

Reputation: 22%
Joined
Dec 12, 2024
Messages
194
Game bora kuishuudia…. High intensity 🔥 Simba wanaunda mashambulizi kwa uharaka sana kwa kutumia mawings wao (Mpanzu na Kibu) ambao wanakuwa wides sana : Simba wanaanza Build Up vizuri sana wanaipita pressing ya Singida kwa pasi fupi fupi + Position ya viungo wao 👍

Singida hawakuzuia wakiwa chini walianza kuwa kuwapress Simba kuanzia juu lakini pressing yao haikuwa nzuri sana . Build Up wanapoteza mipira kirahisi mno na Simba wanapressing na idadi nzuri ya wachezaji then wanafanya “Quicky Transition” iliwapa wakati mgumu Singida .

Metcha Mnata 🤔 Mpanzu mtu sana 👏 Anthur Bada 🔥 Kagoma anachafua sana pale kwenye kiungo ✅
FB_IMG_1735394005879.webp
 
Back
Top Bottom