Nauliza jaman watu wa trade officer oral tumepangiwa kesho interview 16/4/26 lakini mpka saivi usiku hawajaweka venue na wala hawajasema kama wamegairi Ila tu kuna muda ndo upo. Kwaio ni tunajiendea tu kesho au
Bonyeza hapo kujiunga nasi kupata matangazo mbalimbali ya kazi, Maswali ya Usaili.
Similar content
Most view
View more